إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ
Al-Barwani
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
: