وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْجَنَّةِ ۖ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ
Al-Barwani
Na wale walio amini na wakatenda mema, hao ndio watu wa Peponi, humo watadumu.
: